Isaiah 1:9-10


9 aKama Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote
Bwana Mwenye Nguvu Zote hapa ni Yehova Sabaoth, yaani Bwana wa Majeshi; pia

Warumi 9:29 na

Yakobo 5:4.

asingelituachia walionusurika,
tungelikuwa kama Sodoma,
tungelifanana na Gomora.


10 cSikieni neno la Bwana,
ninyi watawala wa Sodoma;
sikilizeni sheria ya Mungu wetu,
enyi watu wa Gomora!
Copyright information for SwhKC